Kiongozi wa vijana Zanu-PF aomba jeshi msamaha.

In Kimataifa

Kiongozi wa muungano wa vijana wa chama tawala Zanu-PF Kudzai Chipanga, ambaye amekuwa muungani mkono wa Rais Robert Mugabe na mkewe Grace ameomba radhi kutokana na hatua yake ya kulishutumu na kulionya jeshi dhidi ya kuchukua mamlaka nchini humo.

Jumanne, alikuwa amemwambia mkuu wa majeshi Jen Constantino Chiwenga anafaa “kusalia kwenye kambi za jeshi”.

Alisema wanachama wake hawatakubali wanajeshi wakiuke katiba na kwamba yeye na wafuasi wake walikuwa tayari kufariki wakimtetea Mugabe.

Lakini usiku wa kuamkia leo, alisoma taarifa kwenye runinga ya taifa ZBC, akisema kwamba alikuwa amekosea.

“Tangu wakati huo nimetafakari na kutambua binafsi kwamba nilikosea, pamoja na wakuu wenzangu kwa kudunisha afisi yako yenye heshima.”

“Sisi bado ni wadogo na hufanya makossa na tumejifunza mengi kutokana na makosa haya.”

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu