Kipindupindu chaendelea Yemen bila kudhibitiwa

In Kimataifa

Shirika la Kimataifa la Msalaba mwekundu, limesema ugonjwa wa kipindupindu nchini Yemen, bado unaendelea bila ya kudhibitiwa.

Shirika hilo limetaja idadi ya watu walioathirika na Kipindupindu nchini Yemen kuwa zaidi ya laki tatu, na kuongeza kwamba vita , umasikini na kuporomoka kwa miundo mbinu, kuwa sababu kubwa ya mripuko wa ugonjwa huo unaouwa , kutokana na chakula na maji.

Miaka miwili ya vita kati ya serikali ya Rais Abd-Rabbu Mansur Hadi inayoungwa mkono na Saudi Arabia na waasi wa Kishia wa jamii ya Houthi,vimeivuruga sekta ya afya nchini humo na kusababisha maelfu ya watu kuambukizwa kipindupindu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu