Kipindupindu chaendelea Yemen bila kudhibitiwa

In Kimataifa

Shirika la Kimataifa la Msalaba mwekundu, limesema ugonjwa wa kipindupindu nchini Yemen, bado unaendelea bila ya kudhibitiwa.

Shirika hilo limetaja idadi ya watu walioathirika na Kipindupindu nchini Yemen kuwa zaidi ya laki tatu, na kuongeza kwamba vita , umasikini na kuporomoka kwa miundo mbinu, kuwa sababu kubwa ya mripuko wa ugonjwa huo unaouwa , kutokana na chakula na maji.

Miaka miwili ya vita kati ya serikali ya Rais Abd-Rabbu Mansur Hadi inayoungwa mkono na Saudi Arabia na waasi wa Kishia wa jamii ya Houthi,vimeivuruga sekta ya afya nchini humo na kusababisha maelfu ya watu kuambukizwa kipindupindu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu