Kipindupindu chaendelea Yemen bila kudhibitiwa

In Kimataifa

Shirika la Kimataifa la Msalaba mwekundu, limesema ugonjwa wa kipindupindu nchini Yemen, bado unaendelea bila ya kudhibitiwa.

Shirika hilo limetaja idadi ya watu walioathirika na Kipindupindu nchini Yemen kuwa zaidi ya laki tatu, na kuongeza kwamba vita , umasikini na kuporomoka kwa miundo mbinu, kuwa sababu kubwa ya mripuko wa ugonjwa huo unaouwa , kutokana na chakula na maji.

Miaka miwili ya vita kati ya serikali ya Rais Abd-Rabbu Mansur Hadi inayoungwa mkono na Saudi Arabia na waasi wa Kishia wa jamii ya Houthi,vimeivuruga sekta ya afya nchini humo na kusababisha maelfu ya watu kuambukizwa kipindupindu.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu