Klabu 11 zakubali kufutwa kwa msimu wa ligi kuu nchini humo.

In Kimataifa, Michezo

Misri klabu 11 zimekubali mpango wa kufutwa kwa
msimu wa ligi kuu nchini humo bila kushuka daraja kwa
timu zilizo katika hatari ya kushuka daraja na Bingwa
apewe Al Ahly SC

Klabu za Al Ahly na Al Mokawloon Al Arab zinazoshika
nafasi ya kwanza na ya pili kushiriki Klabu Bingwa
Afrika msimu ujao.
Huku vilabu vilivyo shika Nafasi ya tatu na nne Vilabu

vya Pyramids FC na Zamalek SC kushiriki Kombe la
Shirikisho Afrika Msimu Ujao.

Hata hivyo klabu Sita Hazijakubali kufutwa kwa msimu
bila Kushuka Daraja na Bingwa Kupewa Ahly SC

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu