Kocha wa Azam Fc aanza kuiona joto ya jiwe ya mikoani.

In Kitaifa, Michezo

Baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mwadui FC wakiwa ugenini, benchi la ufundi la Azam chini ya kocha wake mkuu, Aristica Cioaba raia wa Romania, limeweka bayana kwamba ni ngumu kupata matokeo mazuri wakiwa mkoani kutokana na wapinzani wao wengi kukamia michezo yao.

Azam ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Mwadui Complex mkoani Shinyanga, ililazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji wao Mwadui wanaonolewa na kocha Jumanne Ntambi, kwa matokeo hayo Azam sasa wamefikisha pointi 12 baada ya mechi sita.

Mromania huyo amesema kuwa mchezo huo ulikuwa mgumu kwao licha ya kujiandaa vizuri kuibuka na ushindi lakini wapinzani wao waliwakomalia na kuambualia pointi moja pekee.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu