Kocha wa Azam Fc aanza kuiona joto ya jiwe ya mikoani.

In Kitaifa, Michezo

Baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mwadui FC wakiwa ugenini, benchi la ufundi la Azam chini ya kocha wake mkuu, Aristica Cioaba raia wa Romania, limeweka bayana kwamba ni ngumu kupata matokeo mazuri wakiwa mkoani kutokana na wapinzani wao wengi kukamia michezo yao.

Azam ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Mwadui Complex mkoani Shinyanga, ililazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji wao Mwadui wanaonolewa na kocha Jumanne Ntambi, kwa matokeo hayo Azam sasa wamefikisha pointi 12 baada ya mechi sita.

Mromania huyo amesema kuwa mchezo huo ulikuwa mgumu kwao licha ya kujiandaa vizuri kuibuka na ushindi lakini wapinzani wao waliwakomalia na kuambualia pointi moja pekee.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu