Korea Kaskazini imeonya kuwa itasababisha maumivu na mateso makubwa kwa Marekani, ambayo hayajawahi kushuhudiwa.

In Kimataifa, Siasa

Korea Kaskazini imeonya kuwa itasababisha maumivu na mateso makubwa kwa Marekani, ambayo hayajawahi kushuhudiwa.

Imetoa angalizo hilo kama utawala wa mjini Washington, utaendelea kushinikiza Korea Kaskazini iwekewe vikwazo vikali zaidi, kwa kufanya jaribio la sita la silaha za nyuklia.

Marekani inataka Korea Kaskazini iwekewe vikwazo vya kutouziwa mafuta, mali za kiongozi wa taifa hilo zizuiwe, uuzaji wa nguo katika nchi za nje ukomeshwe, na malipo ya wafanyakazi wageni raia wa Korea Kaskazini yasitishwe.

Marekani inataka baraza la usalama la Umoja wa Mataifa, kupiga kura leo kuridhia vikwazo hivyo licha ya upinzani kutoka kwa China na Urusi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu