Korea Kaskazini imeonya kuwa itasababisha maumivu na mateso makubwa kwa Marekani, ambayo hayajawahi kushuhudiwa.

In Kimataifa, Siasa

Korea Kaskazini imeonya kuwa itasababisha maumivu na mateso makubwa kwa Marekani, ambayo hayajawahi kushuhudiwa.

Imetoa angalizo hilo kama utawala wa mjini Washington, utaendelea kushinikiza Korea Kaskazini iwekewe vikwazo vikali zaidi, kwa kufanya jaribio la sita la silaha za nyuklia.

Marekani inataka Korea Kaskazini iwekewe vikwazo vya kutouziwa mafuta, mali za kiongozi wa taifa hilo zizuiwe, uuzaji wa nguo katika nchi za nje ukomeshwe, na malipo ya wafanyakazi wageni raia wa Korea Kaskazini yasitishwe.

Marekani inataka baraza la usalama la Umoja wa Mataifa, kupiga kura leo kuridhia vikwazo hivyo licha ya upinzani kutoka kwa China na Urusi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu