Korea Kaskazini inaaminiwa imerusha makombora kadhaa ya masafa mafupi ya kutoka ardhini kwenda baharini katika pwani yake ya mashariki kwa mujibu wa jeshi la Korea Kusini.

In Kimataifa

Korea Kaskazini inaaminiwa imerusha makombora kadhaa ya masafa mafupi ya kutoka ardhini kwenda baharini katika pwani yake ya mashariki kwa mujibu wa jeshi la Korea Kusini.

Urushaji huo wa makombora umekuja siku moja baada ya Korea Kusini kuahirisha kuanzisha utaratibu wa mfumo wa Marekani wenye utata wa kupambana na makombora, ulioundwa kuzuia mashambulizi ya Korea Kaskazini.

Hilo ni jaribio la nne la makombora lililofanywa na Korea Kaskazini tokea rais mpya wa Korea Kusini Moon Jae kukamata madaraka Mei 10 na kuahidi kufanya mazungumzo na Korea kaskazini.

Rais huyo wa Korea Kusini amesema shinikizo na vikwazo vya kiuchumi pekee vimeshindwa kutatua kitisho kinachoendelea cha Korea Kusini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu