Korea Kaskazini inaaminiwa imerusha makombora kadhaa ya masafa mafupi ya kutoka ardhini kwenda baharini katika pwani yake ya mashariki kwa mujibu wa jeshi la Korea Kusini.

In Kimataifa

Korea Kaskazini inaaminiwa imerusha makombora kadhaa ya masafa mafupi ya kutoka ardhini kwenda baharini katika pwani yake ya mashariki kwa mujibu wa jeshi la Korea Kusini.

Urushaji huo wa makombora umekuja siku moja baada ya Korea Kusini kuahirisha kuanzisha utaratibu wa mfumo wa Marekani wenye utata wa kupambana na makombora, ulioundwa kuzuia mashambulizi ya Korea Kaskazini.

Hilo ni jaribio la nne la makombora lililofanywa na Korea Kaskazini tokea rais mpya wa Korea Kusini Moon Jae kukamata madaraka Mei 10 na kuahidi kufanya mazungumzo na Korea kaskazini.

Rais huyo wa Korea Kusini amesema shinikizo na vikwazo vya kiuchumi pekee vimeshindwa kutatua kitisho kinachoendelea cha Korea Kusini.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu