Kundi la Boko Haram lapanga kulipua bomu katika mji mkuu wa Nigeria

In Kimataifa

Kundi la Boko Haram linapanga kulipua bomu katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja, amesema mtu mmoja anayesemekana kuwa ni mpiganaji wa kundi hilo ,la wanamgambo wa itikadi kali za Kiislam, akizungumza katika  mkanda wa video ulionekana na shirika la habari la Reuters.

Mtu huyo amesema katika vidio hiyo kwamba, mashambulizi zaidi ya mabomu yanapangwa , ikiwa ni pamoja na mjini Abuja ambako wananachi ndipo wanapojihisi wapo salama.

Ukanda huo wa vidio umepatikana na waandishi habari wa tovuti ya habari ya Sahara iliyoko Marekani wakishirikiana na mwandishi habari wa nchini Nigeria Ahmad Salkida.

Shirika la habari la Reuters hata hivyo halikuweza mara moja kuthibitisha ukweli wa video hiyo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu