Kundi la Boko Haram lapanga kulipua bomu katika mji mkuu wa Nigeria

In Kimataifa

Kundi la Boko Haram linapanga kulipua bomu katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja, amesema mtu mmoja anayesemekana kuwa ni mpiganaji wa kundi hilo ,la wanamgambo wa itikadi kali za Kiislam, akizungumza katika  mkanda wa video ulionekana na shirika la habari la Reuters.

Mtu huyo amesema katika vidio hiyo kwamba, mashambulizi zaidi ya mabomu yanapangwa , ikiwa ni pamoja na mjini Abuja ambako wananachi ndipo wanapojihisi wapo salama.

Ukanda huo wa vidio umepatikana na waandishi habari wa tovuti ya habari ya Sahara iliyoko Marekani wakishirikiana na mwandishi habari wa nchini Nigeria Ahmad Salkida.

Shirika la habari la Reuters hata hivyo halikuweza mara moja kuthibitisha ukweli wa video hiyo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu