kuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela, jana amewaongoza watanzania katika maadhimisho ya kumbukumbu ya ajali ya Meli ya Mv. Bukoba, iliyotokea Mei 21 mwaka 1996 kilometa chache kabla ya kufika Bandari ya Mwanza ikitokea mkoani Kagera.

In Kitaifa

Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela, jana amewaongoza watanzania katika maadhimisho ya kumbukumbu ya ajali ya Meli ya Mv. Bukoba, iliyotokea Mei 21 mwaka 1996 kilometa chache kabla ya kufika Bandari ya Mwanza ikitokea mkoani Kagera.

Maadhimisho hayo yamefanyika katika eneo la kata ya Igoma wilayani Nyamagana yaliko makaburi ya marehemu wa ajali hiyo.

Kumbukumbu hii imetanguliwa na ibada maalum kutoka kwa viongozi wa kidini, waliogusia masuala mbalimbali yanayowakumbusha wanadamu kumcha mwenyezi Mungu, kwa kuwa hakuna aliyeiona kesho kuhusu safari ya maisha yake.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu