kuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela, jana amewaongoza watanzania katika maadhimisho ya kumbukumbu ya ajali ya Meli ya Mv. Bukoba, iliyotokea Mei 21 mwaka 1996 kilometa chache kabla ya kufika Bandari ya Mwanza ikitokea mkoani Kagera.

In Kitaifa

Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongela, jana amewaongoza watanzania katika maadhimisho ya kumbukumbu ya ajali ya Meli ya Mv. Bukoba, iliyotokea Mei 21 mwaka 1996 kilometa chache kabla ya kufika Bandari ya Mwanza ikitokea mkoani Kagera.

Maadhimisho hayo yamefanyika katika eneo la kata ya Igoma wilayani Nyamagana yaliko makaburi ya marehemu wa ajali hiyo.

Kumbukumbu hii imetanguliwa na ibada maalum kutoka kwa viongozi wa kidini, waliogusia masuala mbalimbali yanayowakumbusha wanadamu kumcha mwenyezi Mungu, kwa kuwa hakuna aliyeiona kesho kuhusu safari ya maisha yake.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu