Lazaro nyalandu ajivua ubunge ahama ccm

In Kitaifa, Siasa

Mbunge wa chama cha Mapinduzi CCM Lazaro Nyalandu, amejiuzulu wadhifa wake, na kusema kwamba anataka kuhamia chama cha upinzani Chadema.
Bw Nyalandu aliyewahi kuwa Waziri wa Mali Asili na Utalii wakati wa serikali ya awamu ya Tano, amesema amejuzulu nyadhifa zake zote ndani ya chama cha mapinduzi ikiwemo ubunge.

Nyalandu amesema amechukua uamuzi huo kutokana na kutoridhishwa na muenendo wa hali ya kisiasa nchini, ikiwa ni pamoja na ukiukwaji wa haki za kibinadamu.
Antena imeinasa sehemu ya maelezo ya mheshimiwa Nyalandu, alipokuwa akitangaza uamuzi huo huku akikitaka chama cha Demokrasia na maendeo CHADEMA kumpokea kama wakiona inafaa.

TIZAMA VIDEO

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu