Lazaro nyalandu ajivua ubunge ahama ccm

In Kitaifa, Siasa

Mbunge wa chama cha Mapinduzi CCM Lazaro Nyalandu, amejiuzulu wadhifa wake, na kusema kwamba anataka kuhamia chama cha upinzani Chadema.
Bw Nyalandu aliyewahi kuwa Waziri wa Mali Asili na Utalii wakati wa serikali ya awamu ya Tano, amesema amejuzulu nyadhifa zake zote ndani ya chama cha mapinduzi ikiwemo ubunge.

Nyalandu amesema amechukua uamuzi huo kutokana na kutoridhishwa na muenendo wa hali ya kisiasa nchini, ikiwa ni pamoja na ukiukwaji wa haki za kibinadamu.
Antena imeinasa sehemu ya maelezo ya mheshimiwa Nyalandu, alipokuwa akitangaza uamuzi huo huku akikitaka chama cha Demokrasia na maendeo CHADEMA kumpokea kama wakiona inafaa.

TIZAMA VIDEO

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu