LHRC yatoa tamko la kuhusu hali ya usalama nchini.

In Kitaifa

Kituo cha sheria na haki za Binadamu pamoja na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu, wamekutana na waandishi wa habari leo jijini Dar Es Salaam  kwa ajili ya kutoa tamko lao kuhusu hali ya usalama nchini.

Mkurugenzi wa Haki za Binadamu Bi Bisimba amesema kuwa, matukio mabaya yanazidi kushamiri na kuitaka serikali kutafuta ufumbuzi wa hilo.

Baada ya kusema hayo Bi Bisimba ametaka kuundwe kwa tume huru ya uchunguzi yakinifu, itakayoundwa na Bunge ili kuweza kuwapata wahusika wa matukio mbalimbali, yakiwemo Tundu Lisu, Nape Nnauye na wengineo ili wahusika wafikishwe kwenye vyombo husika.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu