LHRC yatoa tamko la kuhusu hali ya usalama nchini.

In Kitaifa

Kituo cha sheria na haki za Binadamu pamoja na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu, wamekutana na waandishi wa habari leo jijini Dar Es Salaam  kwa ajili ya kutoa tamko lao kuhusu hali ya usalama nchini.

Mkurugenzi wa Haki za Binadamu Bi Bisimba amesema kuwa, matukio mabaya yanazidi kushamiri na kuitaka serikali kutafuta ufumbuzi wa hilo.

Baada ya kusema hayo Bi Bisimba ametaka kuundwe kwa tume huru ya uchunguzi yakinifu, itakayoundwa na Bunge ili kuweza kuwapata wahusika wa matukio mbalimbali, yakiwemo Tundu Lisu, Nape Nnauye na wengineo ili wahusika wafikishwe kwenye vyombo husika.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu