LHRC yatoa tamko la kuhusu hali ya usalama nchini.

In Kitaifa

Kituo cha sheria na haki za Binadamu pamoja na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu, wamekutana na waandishi wa habari leo jijini Dar Es Salaam  kwa ajili ya kutoa tamko lao kuhusu hali ya usalama nchini.

Mkurugenzi wa Haki za Binadamu Bi Bisimba amesema kuwa, matukio mabaya yanazidi kushamiri na kuitaka serikali kutafuta ufumbuzi wa hilo.

Baada ya kusema hayo Bi Bisimba ametaka kuundwe kwa tume huru ya uchunguzi yakinifu, itakayoundwa na Bunge ili kuweza kuwapata wahusika wa matukio mbalimbali, yakiwemo Tundu Lisu, Nape Nnauye na wengineo ili wahusika wafikishwe kwenye vyombo husika.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu