Libya kusitisha mapigano.

In Kimataifa
Viongozi wawili mahasimu nchini Libya wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano kwa lengo la kukuimarisha amani nchini humo.
Mazungumzo ya kusitisha mapigano baina ya pande hizo mbili zinazo sigana yaliongozwa na raisi wa Ufaransa Emmanuel Marcon, aliyemudu kuwaleta mezani kiongozi wa serikali ya Libya inayoungwa mkono na umoja wa mataifa Fayez al-Sarraj na Khalifa Haftar ambaye ni kiongozi wa kundi linalo jiita Libyan National Army lenye ngome yake mashariki mwa Libya
Ni mara ya kwanza viongozi hao wawili kukubali kuweka sahihi makubaliano ya kuweka silaha chini ,ikiwa ni juhudi za kukabiliana na idadi kubwa ya wakimbizi wanaoikimbia Libya kupitia bahari ya Mediteranian kuelekea bara Ulaya.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu