Licha ya Tanzania kukadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 45, lakini watu wengi hawajawa na mwamko wa kuandika wosia.

In Kitaifa

Licha ya Tanzania kukadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 45, lakini watu wengi hawajawa na mwamko wa kuandika wosia.

Hayo yameelezwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) Emmy Hudson jijini Dar es salaam.

Emmy amesema kuwa kwa miaka 10 iliyopita, watu waliojitokeza kuandika wosia ni mia 4 na 38, huku waliochukua hosia zao wakiwa 22 pekee.

Emmy amezitaja takwimu za mwaka huu kuanzia Januari hadi Mei kuwa, wosia zilizoandikwa ni 37 pekee

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu