Licha ya Tanzania kukadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 45, lakini watu wengi hawajawa na mwamko wa kuandika wosia.

In Kitaifa

Licha ya Tanzania kukadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 45, lakini watu wengi hawajawa na mwamko wa kuandika wosia.

Hayo yameelezwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) Emmy Hudson jijini Dar es salaam.

Emmy amesema kuwa kwa miaka 10 iliyopita, watu waliojitokeza kuandika wosia ni mia 4 na 38, huku waliochukua hosia zao wakiwa 22 pekee.

Emmy amezitaja takwimu za mwaka huu kuanzia Januari hadi Mei kuwa, wosia zilizoandikwa ni 37 pekee

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu