Ligi ya mabingwa Ulaya kutimua vumbi.

In Kimataifa, Michezo

 

Ligi ya Mabingwa Ulaya imerejea msimu wa 2017/18, huku vigogo wote wakishuka uwanjani leo na kesho.

Beki wa PSG Thiago Silva ameenda mbele zaidi kwa kusema kuwa, presha ni kubwa kikosini kwao kutokana na usajili uliofanyika.

Silva anasema ujio wa Neymar na Kylian Mbappe, utawafanya wawe na presha kubwa kwa kuwa watu wengi watahitaji mambo makubwa kutoka kwenye timu yao, ambao inatarajiwa kukipiga dhidi ya Celtic katika michuano hiyo.

Ratiba ya game za leo ambazo zitapigwa kuanzia saa 3:45 Usiku ni Celtic vs PSG,Benfica vs  CSKA, Man U vs Basel
Olympiakos vs Sporting,Bayern München vs Anderlecht,Chelsea       vs Qarabağ,Roma vs Atlético Madrid, Barcelona vs Juventus
PSG ipo nchini Scotland kwa ajili ya mchezo huo, ambapo wababe hao wa Ufaransa watakuwa na nia moja tu ya kupata ushindi, kwa kuwa mastaa waliosajiliwa ni wagharama kubwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu