Ligi ya mabingwa Ulaya kutimua vumbi.

In Kimataifa, Michezo

 

Ligi ya Mabingwa Ulaya imerejea msimu wa 2017/18, huku vigogo wote wakishuka uwanjani leo na kesho.

Beki wa PSG Thiago Silva ameenda mbele zaidi kwa kusema kuwa, presha ni kubwa kikosini kwao kutokana na usajili uliofanyika.

Silva anasema ujio wa Neymar na Kylian Mbappe, utawafanya wawe na presha kubwa kwa kuwa watu wengi watahitaji mambo makubwa kutoka kwenye timu yao, ambao inatarajiwa kukipiga dhidi ya Celtic katika michuano hiyo.

Ratiba ya game za leo ambazo zitapigwa kuanzia saa 3:45 Usiku ni Celtic vs PSG,Benfica vs  CSKA, Man U vs Basel
Olympiakos vs Sporting,Bayern München vs Anderlecht,Chelsea       vs Qarabağ,Roma vs Atlético Madrid, Barcelona vs Juventus
PSG ipo nchini Scotland kwa ajili ya mchezo huo, ambapo wababe hao wa Ufaransa watakuwa na nia moja tu ya kupata ushindi, kwa kuwa mastaa waliosajiliwa ni wagharama kubwa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu