Lissu apigwa Risasi.

In Kitaifa

Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA)na Rais wa Chama cha wanasheria Tanganyika (TLS) Tundu Lissu ameshambuliwa na risasi mchana huu.

Mbunge huyo kwa sasa anapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa mkoani Dodoma

Mwanasiasa wa upinzani  Tundu Lissu ameripotiwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa ya chama kikuu cha upinzani CHADEMA kwa vyombo vya habari, tukio hilo limetokea wakati mbunge huyo akiwa nyumbani kwake.

Chama hicho kimelaani vikali tukio hilo.

Kamanda wa polisi mkoani Dodoma, Kamishna Msaidizi , Jires Mroto amesema   wameanza uchunguzi wa tukio hilo.

“Tunaomba wananchi wenye taarifa ya uhalifu huu, waweze kujitokeza” amesema Kamanda Mroto.

Taarifa zaidi zitakuijia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE NOVEMBA 7, 2023

Manchester United na Newcastle United zote zinamfuatilia mshambuliaji wa Lyon Mfaransa Rayan Cherki, 20, ambaye mkataba wake unamalizika Juni

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu