Liverpool yatupwa nje michuano ya Carabao.

In Kimataifa, Michezo

 

Nchini Uingereza michuano ya Carabao Cup imeanza vibaya kwa majogoo wa London Liverpool baada ya kukubali kipigo kutoka kwa Leicester City katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa King Power.

Mshambuliaji Shinji Okazaki alitangulia kuipatia Leicester City katika dakika ya 65 likiwa ni bao lake la nne kuifungia Leicester msimu huu kabla ya Islam Slimani kupachika bao la pili kwa shuti kali na kuiondosha Liverpool katika michuano ya Carabao Cup kwa ushindi wa 2-0.

Kwingineko bao pekee lililofungwa na Delle Ali limeifanya Tottenham kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Burnley  huku Swansea City wakipata ushindi wa mabao 2 ugenini dhidi ya Reading.

Michuano hiyo itaendelea leo katika raundi ya tatu ambapo michezo michezo mitano itapigwa leo katika viwanja tofauti.

Arsenal watacheza dhidi ya Doncaster, Chelsea watacheza na Nottingham Forest,Everton dhidi ya Sunderland, Manchester United dhidi ya Burton Albion wakati West Bromwich watakipiga didi ya Man City.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu