Lowassa afuraishwa na ziara ya wanawake wajasiriamali kutoka Kenya.

In Kitaifa

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Isaac Joseph amewataka wanawake wajasiria mali jamii ya wafugaji kutoka nchini Kenya kuja nchini tanznia haswa katika wilaya hiyo ya monduli kwa ajili ya kujenga ushirikiano wa pamoja na kuwekeza katika viwanda.
Akizungumza na wanawake hao wabunge,na makatibu tarafa kutoka nchini Kenya ,mara baada ya kufanya ziara ya kumtembelea waziri mkuu staafu Edward lowasa amesema amefurahishwa na ziara hiyo kwa kuwa wanawake hao kwa kiasi kikubwa wanepiga hatua kubwa za maendeleo.
Amesema hapo mwanzo jamii ya wafugaji haswa mtoto wa kike ilikuwa nyuma kimaendeleo ,na hata kielimu hivyo ni jambo la kutia moyo kwa wanawake hao kuweza kuhamasishana wenyewe kwa wenyewe na kuwekeza katika sekta mbali mbali.

Mbunge wa kaunti ya kajiado Charles lekatoo amesema kuwa ni vyema jamii ikabadilika na kutoa fursa kwa watu wote bila kujali jinsia kwa kuwa uwezo wa mtu hautegemei jinsia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu