Lowassa afuraishwa na ziara ya wanawake wajasiriamali kutoka Kenya.

In Kitaifa

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Isaac Joseph amewataka wanawake wajasiria mali jamii ya wafugaji kutoka nchini Kenya kuja nchini tanznia haswa katika wilaya hiyo ya monduli kwa ajili ya kujenga ushirikiano wa pamoja na kuwekeza katika viwanda.
Akizungumza na wanawake hao wabunge,na makatibu tarafa kutoka nchini Kenya ,mara baada ya kufanya ziara ya kumtembelea waziri mkuu staafu Edward lowasa amesema amefurahishwa na ziara hiyo kwa kuwa wanawake hao kwa kiasi kikubwa wanepiga hatua kubwa za maendeleo.
Amesema hapo mwanzo jamii ya wafugaji haswa mtoto wa kike ilikuwa nyuma kimaendeleo ,na hata kielimu hivyo ni jambo la kutia moyo kwa wanawake hao kuweza kuhamasishana wenyewe kwa wenyewe na kuwekeza katika sekta mbali mbali.

Mbunge wa kaunti ya kajiado Charles lekatoo amesema kuwa ni vyema jamii ikabadilika na kutoa fursa kwa watu wote bila kujali jinsia kwa kuwa uwezo wa mtu hautegemei jinsia.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu