Luanda waupiku Mji wa Hong Kong kua mji ulio ghali zaidi kwa wafanyakazi wataalamu duniani.

In Kimataifa

Mji mkuu wa Angola , Luanda umeupiku mji wa Hong Kong na kuwa nafasi ya kwanza ya mji ulio ghali zaidi wa maisha kwa wafanyakazi wataalamu duniani.

Kulingana na uchunguzi wa kila mwaka unaorodhesha viwango vya ughali wa maisha kwa wafanyakazi wataalamu katika miji ya dunia, malipo ya nyumba ya vyumba viwili vya kiwango cha wataalamu mjini Luanda ni dola 4,800 za Kimarekani kwa mwezi, wakati kitafunio cha Hamburger mkahawani ni dola 11 na nusu.

Uchunguzi huo umegundua mji wenye maisha yalio rahisi kwa wafanyakazi wa kigeni ni Tunis nchini Tunisia ukishika nafasi ya 209 na kufuatiwa na mji mkuu wa Kardztan -Bishkek na Skopye Macedonia.

Ni mara ya pili katika kipindi cha miaka mitatu, Luanda unatajwa kuwa mji ghali kabisa kimaisha kuanzia nyumba , usafiri na mavazi , katika orodha ya miji 209 duniani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu