Luanda waupiku Mji wa Hong Kong kua mji ulio ghali zaidi kwa wafanyakazi wataalamu duniani.

In Kimataifa

Mji mkuu wa Angola , Luanda umeupiku mji wa Hong Kong na kuwa nafasi ya kwanza ya mji ulio ghali zaidi wa maisha kwa wafanyakazi wataalamu duniani.

Kulingana na uchunguzi wa kila mwaka unaorodhesha viwango vya ughali wa maisha kwa wafanyakazi wataalamu katika miji ya dunia, malipo ya nyumba ya vyumba viwili vya kiwango cha wataalamu mjini Luanda ni dola 4,800 za Kimarekani kwa mwezi, wakati kitafunio cha Hamburger mkahawani ni dola 11 na nusu.

Uchunguzi huo umegundua mji wenye maisha yalio rahisi kwa wafanyakazi wa kigeni ni Tunis nchini Tunisia ukishika nafasi ya 209 na kufuatiwa na mji mkuu wa Kardztan -Bishkek na Skopye Macedonia.

Ni mara ya pili katika kipindi cha miaka mitatu, Luanda unatajwa kuwa mji ghali kabisa kimaisha kuanzia nyumba , usafiri na mavazi , katika orodha ya miji 209 duniani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu