Maafisa wa Afya nchini Urusi wamesema kuwa,watu zaidi ya 11 wamefariki baada ya upepo mkali kukumba mji mkuu wa nchini hiyo Moscow.

In Kimataifa

Maafisa wa Afya nchini Urusi wamesema kuwa,watu zaidi ya 11 wamefariki baada ya upepo mkali kukumba mji mkuu wa nchini hiyo Moscow.

Upepo huo mkali uling’oa mamia ya miti, na zaidi ya watu 50 walitafuta matibabu.

Taarifa zinasema nyaya za umeme pia ziliharibiwa, baada ya mvua kubwa iliyoandamana na upepo mkali kukumba mji wa Moscow.

Iwapo idadi hiyo ya waliofariki itathibitishwa, basi itakuwa idadi kubwa zaidi ya watu kuuawa na tufani mjini humo, katika kipindi cha zaidi ya miaka 100.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu