Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

In Kitaifa

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikali
imeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo ya
kilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto za wakulima
Nchini.


Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo Bungeni wakati
akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Nanyamba Abdallah
Chikota.

Lakini pia naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amesema
kuwa,Serikali ipo mbioni kuanzisha mfuko wa kukabiliana na
changamoto ya kuporomoka kwa bei ya mazao Nchini katika
mwaka wa fedha 2023/2024.


Naibu Waziri Anthony Mavunde ameyasema hayo wakati
akijibu swali la nyongeza la mbunge wa kiteto Edward Ole
Lekaita aliyehoji kwa nini serikali isinunue alizeti zote za

wakulima ili kunusuru kuporomoka kwa bei licha ya wakulima
kuhamasika kulima zao hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu