Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

In Kitaifa

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikali
imeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo ya
kilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto za wakulima
Nchini.


Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo Bungeni wakati
akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Nanyamba Abdallah
Chikota.

Lakini pia naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amesema
kuwa,Serikali ipo mbioni kuanzisha mfuko wa kukabiliana na
changamoto ya kuporomoka kwa bei ya mazao Nchini katika
mwaka wa fedha 2023/2024.


Naibu Waziri Anthony Mavunde ameyasema hayo wakati
akijibu swali la nyongeza la mbunge wa kiteto Edward Ole
Lekaita aliyehoji kwa nini serikali isinunue alizeti zote za

wakulima ili kunusuru kuporomoka kwa bei licha ya wakulima
kuhamasika kulima zao hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu