Mwenyekiti wa chama ca ACT Wazalendo Maalim Seif
amezungumza na waansishi wa habari kuhusu masuala
mbalimbali ya kisiasa hapa nchini.
Kati ya mambo aliyoyazugumzia katika kuelekea uchaguzi
mkuu mwezi wa kumi, Seif Sharifu Khamad amesema taifa
halina umoja.
Lakini kwanza ameanza kwa kulizungumzia tukio la Freeman
Mbowe kushambuliwa na watu wasiojulikana, na kueleza
kuchukizwa na wale wanaobeza na kufurahia kitendo hicho.