Maamuzi yatoka kuhusu ugawaji wa vitalu vya uwindaji.

In Uncategorized

Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Damas Ndumbaro ametoa uamuzi wa kurudiwa kwa mnada kwenye baadhi ya vitalu vya uwindaji kitalii,vilivyobainika kuwa na dosari katika mnada wa sita wa ugawaji vitalu uliofanywa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA).

Ametoa uamuzi huo wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma baada ya kutokea malalamiko kwa baadhi kampuni katika mnada huo. 

Amesema katika kampuni ya Bushman Hunting Safari Ltd na Tawa,baada ya kupitia hoja mbalimbali ameamua TAWA kuweka kwenye mnada mara moja kitalu Burko OA kwa kuwa kampuni hiyo iliyoweka dau la Dola za Marekani 400,000 kuomba kujitoa.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu