Macho yaliyopata hitilafu kurudishiwa muonekano.

In Afya, Kitaifa

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imepokea wataalamu 16 kutoka nchini Cuba, kama moja ya mikakati yake ya kuboresha utoaji huduma za Afya nchini.
Ikiwa ni pamoja na huduma ya kurekebisha muonekano wa macho ambayo yalipata hitilafu ya kiafya au kutokana na ajali.

Imeelezwa kuwa uwepo wa wataalamu hawa utapunguza wagonjwa kusafirishwa kwenye nje ya nchi, kwa ajili ya matibabu lakini pia utapunguza mrundikano wa wagonjwa wanaosubiri kupatiwa huduma hospitalini.
Hayo yamebainishwa na Dr Mpoki Ulisbisya, ambaye ni katibu mkuu katika wizara ya Afya nchini.
Antenna imenasa sauti ya Dr.Mpoki na hapa anafafanua kuhusiana na hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu