Macho yaliyopata hitilafu kurudishiwa muonekano.

In Afya, Kitaifa

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imepokea wataalamu 16 kutoka nchini Cuba, kama moja ya mikakati yake ya kuboresha utoaji huduma za Afya nchini.
Ikiwa ni pamoja na huduma ya kurekebisha muonekano wa macho ambayo yalipata hitilafu ya kiafya au kutokana na ajali.

Imeelezwa kuwa uwepo wa wataalamu hawa utapunguza wagonjwa kusafirishwa kwenye nje ya nchi, kwa ajili ya matibabu lakini pia utapunguza mrundikano wa wagonjwa wanaosubiri kupatiwa huduma hospitalini.
Hayo yamebainishwa na Dr Mpoki Ulisbisya, ambaye ni katibu mkuu katika wizara ya Afya nchini.
Antenna imenasa sauti ya Dr.Mpoki na hapa anafafanua kuhusiana na hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu