Macho yaliyopata hitilafu kurudishiwa muonekano.

In Afya, Kitaifa

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imepokea wataalamu 16 kutoka nchini Cuba, kama moja ya mikakati yake ya kuboresha utoaji huduma za Afya nchini.
Ikiwa ni pamoja na huduma ya kurekebisha muonekano wa macho ambayo yalipata hitilafu ya kiafya au kutokana na ajali.

Imeelezwa kuwa uwepo wa wataalamu hawa utapunguza wagonjwa kusafirishwa kwenye nje ya nchi, kwa ajili ya matibabu lakini pia utapunguza mrundikano wa wagonjwa wanaosubiri kupatiwa huduma hospitalini.
Hayo yamebainishwa na Dr Mpoki Ulisbisya, ambaye ni katibu mkuu katika wizara ya Afya nchini.
Antenna imenasa sauti ya Dr.Mpoki na hapa anafafanua kuhusiana na hilo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu