Madaktari wametoa sababu ya Wanandoa hawa kufariki wote ndani ya Lisaa Limoja

In Kimataifa

Kama hukukutana na hii, tunikwambie  inabidi taarifa ikufikie kwamba Jumamosi ya juzi April 22 lilitokea tukio la Kusikitisha lakini la aina yake ambapo Wanandoa Wawili Isaac Vatkin mwenye miaka 91 na mkewe Teressa mwenye miaka 69 Walifariki ndani ya lisaa limoja wakiwa wanapokea matibabu katika hospitali ya Highland Park inayopatikana huko Illinois Chicago.Isaac Vatkin na Teressa enzi za uhai wao wakati wanafunga ndoa

Madaktari wa hospitali hiyo wametoa taarifa kamili kwamba wote walikuwa wanaugua ugonjwa wa Alzheimers, ambapo wote wawili walikuwa wakipata matibabu katika hospitali hiyo na Wao walishangaa pia kuona wanandoa hao wanafariki pamoja.


Wamesema kwamba Teressa ndiye aliyeanza kufariki dunia huku mumewe Vatkin akiwa amemshika mkono akiwa katika kitanda kilichokuwepo jirani na kile alicholala mkewe na kilichowashangaza ni kwamba Mume alivyogundua mkewe amefariki nayeye alifariki dakika 40 baadae.


Hata hivyo wameongeza kwamba kilichopelekea kifo cha Mwanaume huyo ni kushindwa kupumua vizuri lakini kwa upande wa Mtoto wa Marehemu hao aitwaye Clara Gesklinyeye amesema kwamba baba yake asingeweza kuishi bila mkewe kwani walikuwa wanapendana kuliko wanandoa wowote Duniani na anaamini ndio maana baba yao alimfuata mkewe ndani ya dk 40.
“Upendo baina yao ulikuwa mkubwa sana, mmoja asingeweza kuishi bila mwenzake.”
Mtoto huyo amesema hayo wakati anafanya mahojiano na gazeti maarufu ameiambia Daily Mail,

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu