Madereva wa ITDA waaswa kufuata sheria za barabarani.

In Kitaifa

Mkuu wa Dawati la Elimu Usalama Barabarani Kamishna
Msaidizi Michael Deleli,ameuagiza uongozi wa Chama cha
Madereva Wasafirishaji Nje ya Tanzania ITDA wafuate sheria
za usalama barabarani ili kudhibiti ajali za barabarani.

Kamishana Michael Deleli ameyasema katika katika zoezi la
uzinduzi wa namba za magari unaolenga kusaidia udhibiti wa
upotevu wa mapato serikalini na kudhibiti vitendo vya uhalifu
hasa kwa madereva wanaosafirisha mizigo kwenda nje ya nchi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu