Madrid yainyoosha Buyern.

In Michezo

 

Klabu ya Real madrid jana imeendeleza ubabe kwa Bayern Munich kwenye mchezo wa nusu fainali ya pili uliochezwa kwenye uwanja wa Santiago Bernabéu. Katika mchezo Huo Madrid imefanikiwa kutinga katika hatua ya fainali japo walitoka suluhu ya kufungana mabao 2-2.

Mabao yote ya Madrid yalifungwa na Karim Benzema (11 na 46) wakati Bayern walipata magoli yao kupitia kwa Joshua Kimmich (3) na James Rodriguez (63).

Real wamefanikiwa kutinga fainali kwa jumla ya mabao 4-3 kutokana na mchezo wa awali uliochezwa wiki iliyopita Allianz Arena. Sasa Madrid anamsubiri mshindi atakayekutana naye fainali katika mchezo utakaochezwa usiku wa leo kati ya AS Roma na Liverpool.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu