Madrid yainyoosha Buyern.

In Michezo

 

Klabu ya Real madrid jana imeendeleza ubabe kwa Bayern Munich kwenye mchezo wa nusu fainali ya pili uliochezwa kwenye uwanja wa Santiago Bernabéu. Katika mchezo Huo Madrid imefanikiwa kutinga katika hatua ya fainali japo walitoka suluhu ya kufungana mabao 2-2.

Mabao yote ya Madrid yalifungwa na Karim Benzema (11 na 46) wakati Bayern walipata magoli yao kupitia kwa Joshua Kimmich (3) na James Rodriguez (63).

Real wamefanikiwa kutinga fainali kwa jumla ya mabao 4-3 kutokana na mchezo wa awali uliochezwa wiki iliyopita Allianz Arena. Sasa Madrid anamsubiri mshindi atakayekutana naye fainali katika mchezo utakaochezwa usiku wa leo kati ya AS Roma na Liverpool.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu