Mafikizolo waja na Album Mpya.

In Burudani, Kimataifa

Kundi la muziki kutoka Afrika Kusini, Mafikizolo linaloundwa na vijana wawili Theo Kgosinkwe na Nhlanhla Nciza wameachia albamu ya iitwa yo ’20’ sawa na muda walioishi katika kiwanda cha burudani duniani.

Albamu ya ’20’ kutoka kwa kundi hilo limebeba mastaa wa kubwa wa muziki wakiwemo DJ Maphorisa, Wizkid, KLY, Yemi Alade, Jah Prayzah na wengineo wengi.

Uzinduzi wa albamu hiyo ulienda sanjari na sherehe ya uuzaji wa  albamu hiyo ya ’20’

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu