Magufuli amtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awe Mkali

In Kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge, abadilike na kuachana na upole badala yake awe mkali kwa lengo la kuhakikisha miradi ya jiji hilo inaenda vizuri.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo Oktoba 8, 2020, jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza na wakazi wa jiji hilo kwenye zoezi la kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa kituo kipya cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kilichopo maeneo ya Mbezi Louis ambacho ujenzi wake umekamilika kwa 85%.

“Wahandisi wa mikoa na wilaya hamieni hapa msimamie huu mradi  kwa hiyo uongozi wa mkoa, ninajua mkuu wa mkoa wewe ni mgeni hapa lakini badilika uwe mkali usiwe sheikh au Askofu, ni lazima watu watimize wajibu wao, muondoa ‘damage’ ambayo iko kwenye mkataba”, amesema Rais Magufuli.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu