Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa ya The Hague, Uholanzi, mwezi ujao itaamua kama Afrika Kusini ilikiuka sheria za kimataifa pale iliposhindwa kumtia mbaroni Rais Omar al-Bashir alipotembelea taifa hilo 2015.

In Kimataifa
Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa ya The Hague, Uholanzi, mwezi ujao itaamua kama Afrika Kusini ilikiuka sheria za kimataifa pale iliposhindwa kumtia mbaroni Rais Omar al-Bashir alipotembelea taifa hilo 2015.
Serikali ya Afrika Kusini na mahakama hiyo ziliingia katika mvutano mkali wakati Bashir aliporuhusiwa kuhudhuria mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika mjini Johannesburg pamoja na mahakama ya ICC kutoa waranti mbili za kukamatwa kwa kiongozi huyo.
Wanasheria wa Afrika Kusini wanadai serikali ilishauriana na majaji wa ICC kabla ya mkutano wa kilele na ikakubalika anaweza kuwa na kinga ya kidiplomasia kama mkuu wa nchi.
Rais Bashir bado anaendelea na majukumu yake pamoja na kusakwa kwa tuhuma ya mauwaji ya halaiki yalotokea katika jimbo la Darful nchini Sudan.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu