Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa ya The Hague, Uholanzi, mwezi ujao itaamua kama Afrika Kusini ilikiuka sheria za kimataifa pale iliposhindwa kumtia mbaroni Rais Omar al-Bashir alipotembelea taifa hilo 2015.

In Kimataifa
Mahakama ya Uhalifu ya Kimataifa ya The Hague, Uholanzi, mwezi ujao itaamua kama Afrika Kusini ilikiuka sheria za kimataifa pale iliposhindwa kumtia mbaroni Rais Omar al-Bashir alipotembelea taifa hilo 2015.
Serikali ya Afrika Kusini na mahakama hiyo ziliingia katika mvutano mkali wakati Bashir aliporuhusiwa kuhudhuria mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika mjini Johannesburg pamoja na mahakama ya ICC kutoa waranti mbili za kukamatwa kwa kiongozi huyo.
Wanasheria wa Afrika Kusini wanadai serikali ilishauriana na majaji wa ICC kabla ya mkutano wa kilele na ikakubalika anaweza kuwa na kinga ya kidiplomasia kama mkuu wa nchi.
Rais Bashir bado anaendelea na majukumu yake pamoja na kusakwa kwa tuhuma ya mauwaji ya halaiki yalotokea katika jimbo la Darful nchini Sudan.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu