Mahakama ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, imewahukumu kifungo cha jumla ya miaka 60 jela washtakiwa watatu, kwa kukutwa na mguu wa twiga kinyume cha sheria za wanyama pori.

In Kitaifa

Mahakama ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, imewahukumu kifungo cha jumla ya miaka 60 jela washtakiwa watatu, kwa kukutwa na mguu wa twiga kinyume cha sheria za wanyama pori.

Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo Teotimus Swai, baada ya kuridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka.

Akitoa hukumu hiyo hakimu Swai amesema kuwa, ushahidi uliotolewa mahakamani na upande mashtaka umewatia hatiani watuhumiwa hao.

Waliohukumiwa kwenda jela ni Juma Kinanda (66) na Saidi Shabani (42), wote wakazi wa Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora na Rashidi Miraji (64) mkazi wa Inyonga wilayani Mlele.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu