Mahakama yatupilia mbali ombi la wabunge 8 waliofukiuzwa cuf.

In Kitaifa

Wabunge 8 wa viti maalum wa chama cha wananchi CUF waliofukuzwa uanachama na kupoteza nafasi zao, wanakabiliwa na mtihani mgumu baada ya mahakama kutupilia mbali ombi lao.

Wabunge hao waliitaka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuweka zuio la kuapishwa kwa wabunge wapya, walioteuliwa katika nafasi hizo.

Badala yake mahakama hiyo imesema itatoa uamuzi wa pingamizi la Mwanasheria Mkuu wa Serikali AG, dhidi ya maombi ya wabunge hao na madiwani wawili, wanaopinga kufukuzwa uanachama Agosti 25 mwaka huu.

Uamuzi huo umetolewa jana na Jaji Lugano Mwandambo, baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili.

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu