Mahakama yatupilia mbali ombi la wabunge 8 waliofukiuzwa cuf.

In Kitaifa

Wabunge 8 wa viti maalum wa chama cha wananchi CUF waliofukuzwa uanachama na kupoteza nafasi zao, wanakabiliwa na mtihani mgumu baada ya mahakama kutupilia mbali ombi lao.

Wabunge hao waliitaka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuweka zuio la kuapishwa kwa wabunge wapya, walioteuliwa katika nafasi hizo.

Badala yake mahakama hiyo imesema itatoa uamuzi wa pingamizi la Mwanasheria Mkuu wa Serikali AG, dhidi ya maombi ya wabunge hao na madiwani wawili, wanaopinga kufukuzwa uanachama Agosti 25 mwaka huu.

Uamuzi huo umetolewa jana na Jaji Lugano Mwandambo, baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili.

 

 

 

 

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu