Majaji wa Mahakama ya Juu Kenya wameanza kuandika uamuzi.

In Kimataifa, Siasa

Majaji wa Mahakama ya Juu wameanza kuandika uamuzi wa kesi ya kupinga ushindi wa rais Uhuru Kenyatta, iliyowasilishwa na kiongozi wa Muungano wa upinzani NASA Raila Odinga.

Hatua hii inakuja baada ya Majaji hao kutamatisha kibarua cha kusikiliza Mawakili wa upande wa Tume ya uchaguzi, wale wanaomwakilisha rais Kenyatta na wale wa muungano wa upinzani NASA.

Mawakili wa NASA, wakiongozwa na James Orengo, wanataka Mahakama hiyo kutupilia mbali kesi hiyo baada ya kuonesha kuwa kulikuwa na ushahidi mkubwa, Uchaguzi huo haukuwa huru na haki.

Akitoa ripoti ya mwisho, Orengo alisema ikiwa Mahakama hiyo itaangalia kikamilifu ushahidi wote uliowasilishwa, basi ushindi huo utatupiliwa mbali.

Paul Muite anayewakilisha Tume ya Uchaguzi katika kesi hiyo alisema kuwa, pamoja na kwamba huenda kulikuwa na dosari ndogondogo, zoezi hilo lilikwenda vizuri.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu