Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kuwajengea uwezo viongozi wanawake

In Kitaifa

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan  anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kuwajengea uwezo viongozi wanawake katika kutambua nafasi yao ili kuwawezesha kupata ujasiri wa kuongoza wengine pamoja na kuwaelimisha jinsi ya kujilinda na unyanyasaji wa kijinsia.

Hayo yamesemwa na Mratibu wa Kongamano hilo, Mchungaji Debora Malassy wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana. Pia kongamano hilo litatumika kuwaelimisha wanawake jinsi ya kujikwamua kiuchumi na kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia unaotokana na rushwa ya ngono.

Pia amesema kongamano hilo litatumika kumuombea Rais John Magufuli pamoja na taifa kwa ujumla

Ameongeza kuwa kongamano hilo litawakutanisha wanawake kutoka ndani na nje ya nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza, Uganda, Congo, Botswana pamoja na Zam

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu