Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kuwajengea uwezo viongozi wanawake

In Kitaifa

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan  anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kuwajengea uwezo viongozi wanawake katika kutambua nafasi yao ili kuwawezesha kupata ujasiri wa kuongoza wengine pamoja na kuwaelimisha jinsi ya kujilinda na unyanyasaji wa kijinsia.

Hayo yamesemwa na Mratibu wa Kongamano hilo, Mchungaji Debora Malassy wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana. Pia kongamano hilo litatumika kuwaelimisha wanawake jinsi ya kujikwamua kiuchumi na kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia unaotokana na rushwa ya ngono.

Pia amesema kongamano hilo litatumika kumuombea Rais John Magufuli pamoja na taifa kwa ujumla

Ameongeza kuwa kongamano hilo litawakutanisha wanawake kutoka ndani na nje ya nchi mbalimbali ikiwemo Uingereza, Uganda, Congo, Botswana pamoja na Zam

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu