Mama wa miaka 45 aachana na mume wake baada ya kuambiwa ana Saratani ya ubongo.

In Kimataifa, Mahusiano

 

Mama huyo wa miaka 45 Natalie Whiteside amuacha mume wake baada ya kuambiwa ana miaka 5 tu ya kuishi kutokana na kuugua kwake  .

Madaktari walimwambia ana miaka 5 tu yakuishi na hivyo aliamua kumuacha mume wake na kurudiana na mpenzi wake wa zamani waliosoma pamoja utotoni  jambo linaloshangaza .

Tukio hilo lilitokea akiwa na mimba ya pili ya mume huyo na kuamua kuaachana nae .Alidai asingekuwa na Saratani ya ubongo kungezidi ugomvi baina yake na aliekuwa mume wake .

Mwanamke huyo anaamini atapona kwani imeshapita miaka 6 na bado hali sio mbaya kama alivyodhani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Watu 193 wawekwa karantini kisa virusi vya Marburg.

Mganga Mkuu wa serikali Dkt Tumaini Nagu,amesema hakuna kisa kipya kilichoongezeka kuhusu vifo vilivyosababishwa na virusi vya Ugonjwa wa

Read More...

SERIKALI YAFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

SERIKALI kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi,isemema kuwa katika kuhakikisha wanakuwa na Taarifa za uhakika za Hali ya hewa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu