Mama wa miaka 45 aachana na mume wake baada ya kuambiwa ana Saratani ya ubongo.

In Kimataifa, Mahusiano

 

Mama huyo wa miaka 45 Natalie Whiteside amuacha mume wake baada ya kuambiwa ana miaka 5 tu ya kuishi kutokana na kuugua kwake  .

Madaktari walimwambia ana miaka 5 tu yakuishi na hivyo aliamua kumuacha mume wake na kurudiana na mpenzi wake wa zamani waliosoma pamoja utotoni  jambo linaloshangaza .

Tukio hilo lilitokea akiwa na mimba ya pili ya mume huyo na kuamua kuaachana nae .Alidai asingekuwa na Saratani ya ubongo kungezidi ugomvi baina yake na aliekuwa mume wake .

Mwanamke huyo anaamini atapona kwani imeshapita miaka 6 na bado hali sio mbaya kama alivyodhani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu