Mamlaka nchini Brazil imezuia utoaji wa hati za kusafiria (pasipoti).

In Kimataifa

Mamlaka nchini Brazil imezuia utoaji wa hati za kusafiria (pasipoti) kutokana na mgogoro wa bajeti.

Kitengo cha polisi wa uhamiaji nchini humo ambao hushughulikia utoaji wa pasipoti ndani ya siku sita za kufanya kazi, kimesema kwa sasa hakipokei maombi mapya.

Mmoja wa wanasisasa nchini Brazil amezilaumu sera za Rais Temer kwa kusababisha mgogoro wa kiuchumi.

Serikali imesema itajaribu kushughulikia suala hilo mapema iwezekanavyo.

Brazil inakumbana na mgogoro mkubwa wa kiuchumi na ukosefu wa hati za kusafiria waweza kuwa kikwazo wakati huu wa baridi ambapo raia wengi wa Brazil husafiri nje ya nchi.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu