Mamlaka nchini Brazil imezuia utoaji wa hati za kusafiria (pasipoti).

In Kimataifa

Mamlaka nchini Brazil imezuia utoaji wa hati za kusafiria (pasipoti) kutokana na mgogoro wa bajeti.

Kitengo cha polisi wa uhamiaji nchini humo ambao hushughulikia utoaji wa pasipoti ndani ya siku sita za kufanya kazi, kimesema kwa sasa hakipokei maombi mapya.

Mmoja wa wanasisasa nchini Brazil amezilaumu sera za Rais Temer kwa kusababisha mgogoro wa kiuchumi.

Serikali imesema itajaribu kushughulikia suala hilo mapema iwezekanavyo.

Brazil inakumbana na mgogoro mkubwa wa kiuchumi na ukosefu wa hati za kusafiria waweza kuwa kikwazo wakati huu wa baridi ambapo raia wengi wa Brazil husafiri nje ya nchi.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu