Mamlaka ya hali ya hewa waongelea hali ya mvua.

In Kitaifa

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imekutana na wanahabari leo October 17, 2017 na kueleza juu ya uelekeo wa hali ya hewa hasa uwepo wa mvua ikisema itakuwa nzuri kwa kipindi hiki kwa kuwa na mvua za wastani hadi juu ya wastani.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa mamlaka ya hali hewa hapa nchini Dr. Agnes Lawrence Kijazi na kutoa mchangunuo kuhusiana mikoa

Lakini pia Dr. Agnes Lawrence Kijazi ametoa ushauri kutokana na mvua zinazotarajiwa kunyesha na kuwataka wakulima kuandaa mashamba vyema ili kupata mazao pia wananchi kuvuna maji kwa wingi kwa ajili ya matumzi ya baadaye majumbani na pia mashambani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu