Mamlaka ya hali ya hewa waongelea hali ya mvua.

In Kitaifa

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imekutana na wanahabari leo October 17, 2017 na kueleza juu ya uelekeo wa hali ya hewa hasa uwepo wa mvua ikisema itakuwa nzuri kwa kipindi hiki kwa kuwa na mvua za wastani hadi juu ya wastani.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa mamlaka ya hali hewa hapa nchini Dr. Agnes Lawrence Kijazi na kutoa mchangunuo kuhusiana mikoa

Lakini pia Dr. Agnes Lawrence Kijazi ametoa ushauri kutokana na mvua zinazotarajiwa kunyesha na kuwataka wakulima kuandaa mashamba vyema ili kupata mazao pia wananchi kuvuna maji kwa wingi kwa ajili ya matumzi ya baadaye majumbani na pia mashambani.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu