Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jiji la Arusha (AUWSA) yatoa wiki mbili kwa wadaiwa sugu kabla ya hatua kali kuchukuliwa.

In Kitaifa

Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jiji la Arusha (AUWSA) imetoa wiki mbili kwa wateja wote wanaotumia huduma ya maji zikiwemo taasisi za serikali  idara za serikali na watu binafsi kabla ya hatua kali kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kukatiwa huduma ya maji.

Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa body ya maji mkoa wa Arusha Doct Job Thomas Laizer na kusema wadaiwa sugu ni pamoja na idara ya mambo ya ndani ambayo ni jeshi la polisi mkoa wa arusha ambayo inadaiwa kiasi cha shs bil.1.2huku hospitali ya mount meru ikidaiwa kiasi cha shs
mil.175.

Doct job amesema fedha hizo zinahitajika kwa ajili yakuendeleza miradi ya maji kwa jiji la arsuha na kutanua huduma za maji katika jiji hili na kuweza kupiga hatua kwa kua mamlaka kwa sasa inatumia fedha zake katika kujiendeleza na si kutegemea fedha kutoka serikalini

Amesema kwa sasa jiji la Arusha linazalisha maji kati ya 30 na 60 elfu mita za ujazo kwa kuwa vyanzo vya sasa haviwezi kuzalisha maji zaidi ya hapo kwani uzalisha wa maji unatagemea na msimu ambapo  msimu wa kiangazi maji hupunguana msimu wa masika maji huongezeka.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu