Man City yaicharaza Liverpool 5-0.

In Kimataifa, Michezo

Manchester City ime uraruwa ulinzi hafifu wa Liverpool na kunyakua ushindi mkubwa dhidi ya wageni wake wa kikosi cha wachezaji 10 Liverpool, na kufanikiwa kukwea kwenye orodha ya ligi.

Sergio Aguero alifungua mvua ya mikwaju kwa kumchenga kipa wa Liverpool Simon Mignolet.

Sadio Mane alitolewa uwanjani baada ya kunyanyua mguu wake uliomgonga kipa wa City, Ederson, aliyetibiwa uwanjani kwa dakika 10.

Gabriel Jesus aliongeza jingine na Leroy Sane kumalizia kwa mawili ya mwisho na kukamilisha ushindi wa 5-0.

Kevin de Bruyne alitoa pasi safi kwa goli la ufunguzi la Aguero na pia alimtambua na kumpa pasi Jesus aliyekuwa wazi na kufanikiwa kuifungia City katika muda wa ziada baada ya kujeruhiwa kwa Ederson.

Ushindi huu unakiinusha kikosi cha Pep Guardiola juu ya mahasimu Manchester United kwenye ligi, wanaokuwa wageni wa Stoke baadaye Jumamosi.

Na unahakikisha kushindwa kwa mara ya kwanza katika msimu kwa kikosi cha Jurgen Klopp.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Maagizo ya wizara kuhusu mfuko wa maendeleo ya kilimo.

Naibu Waziri Wa Kilimo Anthony Mavunde, amesema serikaliimeanza kutekeleza uanzishwaji wa mfuko wa maendeleo yakilimo utakaosaidia kukabiliana na changamoto

Read More...

TANZIA: WAZIRI MSTAAFU WA KILIMO AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini na Waziri wa Kilimo na Mifugo Mhe. Herman Kirigini Amefariki Dunia. Akithibitisha

Read More...

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Professor Makame Mbarawaameliomba Bunge kumuidhinishia kiasi cha Sh Trilioni 3.6ikiwa ni makadirio ya mapato

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu