Manchester City kushiriki kombe la Ulaya.

In Kimataifa, Michezo


Klabu ya Manchester imefanikiwa kubadili marufuku ya miaka
miwili kushiriki katika mashindano ya klabu bingwa Ulaya
kuanzia msimu ujao.


Mahakama ya kutatua mizozo ya michezo ilitangaza kwamba
klabu hiyo imeondolewa makosa ya ya kifedha chini ya sheria
ya Fifa siku ya Jumatatu.


Bodi ya kudhibiti matumizi ya klabu za Uefa CFCB ilitoa
marufuku hiyo Februari baada ya City kukiuka sheria ya
Financial Fiar Play FFP kati ya 2012 na 2016.
Faini ya City ya yuro milioni 30 sasa imepunguzwa hadi yuro
milioni 10.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

NACTIVET YASIMAMISHA MAFUNZO CHUO CHA MBEYA TRAINING..DC MALISA AAGIZA KUFANYIWA UHAKIKI VYUO VYOTE WILAYA YA MBEYA

Wazazi Wanafunzi na wahitimu wa chuo cha Mbeya training wameiomba serikali iwasaidie kurudishiwa stahiki zao mara baada ya kubainika

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu