Maofisa wa Pakistan wamekamata kilo 20 za madawa ya kulevya aina ya heroin katika ndege ya shirika la ndege la nchi hiyo Pia, iliyokuwa inajiandaa kuondoka kuelekea mjini London nchini Uingereza.

In Kimataifa

Maofisa wa Pakistan wamekamata kilo 20 za madawa ya kulevya aina ya heroin katika ndege ya shirika la ndege la nchi hiyo Pia, iliyokuwa inajiandaa kuondoka kuelekea mjini London nchini Uingereza.

Msemaji wa shirika hilo la ndege amesema madawa hayo yalikamatwa baada ya kufanyika ukaguzi katika uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Islamabad.

Madawa ya kulevya aina ya heroin yamekamatwa katika ndege za shirika hilo alau mara tatu tangu mwezi Agosti mwaka jana ikiwemo tukio la wiki iliyopita lililotokea katika uwanja wa ndege wa Heathrow mjini London.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu