Maofisa wa Pakistan wamekamata kilo 20 za madawa ya kulevya aina ya heroin katika ndege ya shirika la ndege la nchi hiyo Pia, iliyokuwa inajiandaa kuondoka kuelekea mjini London nchini Uingereza.

In Kimataifa

Maofisa wa Pakistan wamekamata kilo 20 za madawa ya kulevya aina ya heroin katika ndege ya shirika la ndege la nchi hiyo Pia, iliyokuwa inajiandaa kuondoka kuelekea mjini London nchini Uingereza.

Msemaji wa shirika hilo la ndege amesema madawa hayo yalikamatwa baada ya kufanyika ukaguzi katika uwanja wa ndege wa kimataifa mjini Islamabad.

Madawa ya kulevya aina ya heroin yamekamatwa katika ndege za shirika hilo alau mara tatu tangu mwezi Agosti mwaka jana ikiwemo tukio la wiki iliyopita lililotokea katika uwanja wa ndege wa Heathrow mjini London.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu