Mara baada ya waziri wa fedha na mipango Dakt. Philip Mpango kuwasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Tgnp mtandao na asasi za kiraia wameisifu bajeti hiyo huku wakiweka bayana baadhi ya mambo yaliyoonekana kuwa na changamoto kadhaa.

In Kitaifa

Mara baada ya waziri wa fedha na mipango Dakt. Philip Mpango kuwasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Tgnp mtandao na asasi za kiraia wameisifu bajeti hiyo huku wakiweka bayana baadhi ya mambo yaliyoonekana kuwa na changamoto kadhaa.

Akizungumza mara baada ya kutazama uwasilishwaji wa bajeti hiyo Mkurugenzi mtendaji wa TGNP Mtandao Lilian Liundi, amesema wao kama asasi ya kiraia walikuwa wakitegemea kuona bajeti hiyo ikiwalenga watu na si vitu ,lakini mpango wa miaka mitano wa pili umeingiza mpango huo wa maendeleo ya watu kuwekwa katikati.

Liundi amesema miongoni mwa mambo ambayo hawajafurahishwa nayo ni suala la ushuru wa karatasi, ambalo suala hilo linalenga moja kwa moja katika elimu,pamoja na suala la vifo vya uzazi ambavyo vimeonekana kuongezeka.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu