Mara baada ya waziri wa fedha na mipango Dakt. Philip Mpango kuwasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Tgnp mtandao na asasi za kiraia wameisifu bajeti hiyo huku wakiweka bayana baadhi ya mambo yaliyoonekana kuwa na changamoto kadhaa.

In Kitaifa

Mara baada ya waziri wa fedha na mipango Dakt. Philip Mpango kuwasilisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Tgnp mtandao na asasi za kiraia wameisifu bajeti hiyo huku wakiweka bayana baadhi ya mambo yaliyoonekana kuwa na changamoto kadhaa.

Akizungumza mara baada ya kutazama uwasilishwaji wa bajeti hiyo Mkurugenzi mtendaji wa TGNP Mtandao Lilian Liundi, amesema wao kama asasi ya kiraia walikuwa wakitegemea kuona bajeti hiyo ikiwalenga watu na si vitu ,lakini mpango wa miaka mitano wa pili umeingiza mpango huo wa maendeleo ya watu kuwekwa katikati.

Liundi amesema miongoni mwa mambo ambayo hawajafurahishwa nayo ni suala la ushuru wa karatasi, ambalo suala hilo linalenga moja kwa moja katika elimu,pamoja na suala la vifo vya uzazi ambavyo vimeonekana kuongezeka.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu