Marekani na Qatar wamefikia makubaliano ya jitihada za kukabiliana na kudhamini ugaidi.

In Kimataifa

Marekani na Qatar wamefikia makubaliano ya jitihada za kukabiliana na kudhamini ugaidi.

Makubaliano hayo yametiwa saini mjini Doha na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rex Tillerson ambaye yuko ziarani nchini humo.

Makubaliano hayo yanafanyika wakati ambapo Qatar ipo katika mgogoro mkali na majirani zake, ikiwemo Saudi Arabia.

Wote wamekata uhusiano na Qatar baada ya kuituhumu kuunga mkono makundi ya wapiganaji wa kiislamu katika eneo la Mashariki ya Kati.

 

Wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema, makubaliano hayo na Marekani, ambayo inasaidia kusuluhisha mgogoro huo, imeashiria kwamba inaiona Qatar kama mshirika mwaminifu katika mapambano dhidi ya ugaidi.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Wazazi wahimizwa kuzingatia Elimu Mbeya.

Afisa Tarafa wa Sisimba John Mboya amewataka wazazi na walezi kata ya Itagano Jijini Mbeya kuzingatia suala la elimu

Read More...

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu