Marekani yaichunguza Cuba.

In Kimataifa

Wizara ya Mambo ya Kigeni ya Marekani inachunguza ripoti za matukio ya kushangaza ambayo yamewaathiri Wamarekani 16 wanaoishi Cuba.

Ripoti kadhaa za vyombo vya habari zimedokeza kuwa huenda walikuwa waathiriwa wa kile kinachifahamika kama “shambulizi la kutumia kifaa cha sauti”.

Maafisa wanasema raia wa Marekani wanaofanya kazi katika ubalozi wa nchi hiyo mjini Havana wamekumbwa na dalili za kimwili zinazosababishwa na “matukio” yasiyotambulika ambayo yalianza mwishoni mwa mwaka wa 2016.

Wafanyakazi kadhaa walirejeshwa nyumbani Marekani kutokana na matatizo ya kusikia na madhara mengine. Kwa mujibu wa televisheni ya CBS, madhara hayo ni pamoja na kichefuchefu, matatizo ya kutoweza kusimama vizuri na hata kuumia kwa ubongo.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu