Marekani yaongezewa masharti Cuba.

In Kimataifa

Serikali ya Marekani imetangaza masharti mapya yenye nguvu zaidi yatakayoweka ugumu wa Wamarekani kutembelea Cuba na kufanya biashara nchini humo.

Ikulu ya Marekani imesema sheria mpya hizo zinalenga kuzuia wanajeshi na wana Usalama kunufaika na utalii na biashara kutoka Marekani.

Masharti hayo ambayo yanahusisha marufuku juu ya Wamarekani kutumia makampuni 180 ikiwemo hoteli za serikali na maduka yanayohudumia wanajeshi.

Masharti hayo pia ni pamoja na raia wa Marekani wanapotaka kusafiri nchini Cuba wanapaswa kuthibitisha kwenye kampuni moja ya nchi hiyo inayohusika na masuala ya safari.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu