Marekani yaongezewa masharti Cuba.

In Kimataifa

Serikali ya Marekani imetangaza masharti mapya yenye nguvu zaidi yatakayoweka ugumu wa Wamarekani kutembelea Cuba na kufanya biashara nchini humo.

Ikulu ya Marekani imesema sheria mpya hizo zinalenga kuzuia wanajeshi na wana Usalama kunufaika na utalii na biashara kutoka Marekani.

Masharti hayo ambayo yanahusisha marufuku juu ya Wamarekani kutumia makampuni 180 ikiwemo hoteli za serikali na maduka yanayohudumia wanajeshi.

Masharti hayo pia ni pamoja na raia wa Marekani wanapotaka kusafiri nchini Cuba wanapaswa kuthibitisha kwenye kampuni moja ya nchi hiyo inayohusika na masuala ya safari.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu