Masauni aagiza Mkandarasi kushugulikiwa.

In Kitaifa

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni, ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali dhidi ya Mkandarasi ambaye ametelekeza ujenzi wa mradi wa Umwagiliaji, kwenye Gereza la Kilimo Idete mkoani Morogoro.

Ametoa agizo hilo baada ya kutembelea gereza hilo kwa ajili ya kujionea mradi huo, ambapo alielezwa na Mkuu wa Magereza Mkoa wa Morogoro Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Magereza Ramadhan Nyamka.

Aidha baada ya kupata maelezo ya mradi huo, Masauni amelitaka Jeshi la Magereza kufanya uchunguzi dhidi ya Mkandarasi huyo, na ikithibitika anamakosa akamatwe na achukuliwe hatua za kisheria.

Mkandarasi huyo ametelekeza mradi huo wenye thamani ya shilingi Bilioni 2.5 tangu mwaka 2016, kitu ambacho kimemfanya Waziri Masauni atoe agizo hilo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu