Masauni aagiza Mkandarasi kushugulikiwa.

In Kitaifa

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni, ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali dhidi ya Mkandarasi ambaye ametelekeza ujenzi wa mradi wa Umwagiliaji, kwenye Gereza la Kilimo Idete mkoani Morogoro.

Ametoa agizo hilo baada ya kutembelea gereza hilo kwa ajili ya kujionea mradi huo, ambapo alielezwa na Mkuu wa Magereza Mkoa wa Morogoro Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Magereza Ramadhan Nyamka.

Aidha baada ya kupata maelezo ya mradi huo, Masauni amelitaka Jeshi la Magereza kufanya uchunguzi dhidi ya Mkandarasi huyo, na ikithibitika anamakosa akamatwe na achukuliwe hatua za kisheria.

Mkandarasi huyo ametelekeza mradi huo wenye thamani ya shilingi Bilioni 2.5 tangu mwaka 2016, kitu ambacho kimemfanya Waziri Masauni atoe agizo hilo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu