Masha,Msando na Patrobas Wajiunga CCM.

In Kitaifa, Siasa

Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Lawrence Masha ameomba kupokelewa katika chama alichokiama wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2015 ambacho ni CCM,Lawrence Masha amejiunga leo na Chama Cha Mapinduzi katika vikao vunavyoendelea vya chama hicho,Masha amesema”Nimekuja hapa kuwaombeni mnipokee mwana mpotevu nimerudi,Niko imara na nitakuwa mwaminifu kwa CCM.

Na wakili msomi aliyekuwa mwanachama wa ACT Wazalendo Albert Msando amejiunga na Chama Cha Mapinduzi leo katika vikao vinavyoendelea ndani ya Chama hicho.

Lakini pia si Lawrence Masha na wakili msomi Albert Msando  pekee bali na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la vijana wa CHADEMA Taifa Patrobas Katambi ajiunga rasmi CCM.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

ZOEZI LA UOKOAJI HANANG, MAWAZIRI WAFIKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent

Read More...

RC MBEYA AFANYA UZINDUZI ZOEZI LA UGAWAJI VITAMBULISHO VYA (NIDA)

Mkuu wa mkoa wa mbeya Mhe. Comrede Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho

Read More...

MAADHIMISHO YA WATOTO DUNIANI YAFANYIKA ARUSHA

Siku ya watoto duniani kitaifa imeazimishwa hapa jiji Arusha katika hoteli ya mount meru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu