Mawaziri wa nchi za Umoja wa Ulaya wamempa muongozo mpatanishi wa umoja huo anayehusika na suala la Uingereza kujitoa kutoka umoja huo Brexit, Michel Barnier.

In Kimataifa

Mawaziri wa nchi za Umoja wa Ulaya wamempa muongozo mpatanishi wa umoja huo anayehusika na suala la Uingereza kujitoa kutoka umoja huo Brexit, Michel Barnier.

Mwanadiplomasia huyo wa zamani wa Ufaransa hatarajiwi kuanzisha mazungumzo ya Brexit mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa Uingereza mwezi ujao.

Mawaziri kutoka nchi 27 wanachama wa Umoja wa Ulaya wameridhia kanuni ambazo mpatanishi mkuu Barnier atazitumia kujadili kujitoa kwa Uingereza.

Barnier binafsi amesema hataki kufikiria kuhusu mazungumzo hayo kuvunjika na kwamba pande zote mbili huenda zikajadili mkataba wa kibiashara ikiwa masuala muhimu yanayohusiana na Uingereza kujitoa Umoja wa Ulaya yatakubaliwa haraka.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu