Mbowe azungumzia afya ya Lissu…

In Afya, Kitaifa

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo amezungumza na wanahabari kuhusiana na hali ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu aliyeko katika hospitali ya Narobi nchini Kenya kwa matibabu.
Mh,Mbowe amesema Mh,Lisu anaendelea vizuri na kuimarika lakini amesema Mh,Lissu amefanyiwa upasuaji mara kumi na saba lakini pia amepewa damu nyingi kuliko mgonjwa yeyote hapo hosptalini tangu miaka ishirini iliyopita Lakini pia Mh,Mbowe amesema mashine alizokua akizitumia katika kuendesha ama kusapoti mwili wake zimeondolewa na sasa anatumia wilchair.

Kwa upande mwingine Mh.Mbowe amewashukuru madaktari wote toka Tanzania na Kenya waliookoa maisha ya Mh,Lissu,pia amesema Hosptali ya Kenya imefikisha awamu ya pili ya matibabu huku baada ya hapo itafanyika awamu ya tatu ya matibabu nay a muda mrefu katika kuimarisha afya na kumtibu Mh.Lissu ambapo awamu hiyo itafanyika nje ya Tanzania na Kenya kwa sababu ya kiusalama.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

Serikali kuunga mkono juhudi za Taasisi mbali mbali.

Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Mwinyi, amesema serikaliitaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi yaZanzibar Maisha Bora Foundation,pamoja na

Read More...

DKT. KIRUSWA AZINDUA MFUMO WA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Watanzania waendelea kunufaika Sekta ya Madini, ajira 15,341 zamwagwa, manunuzi ya ndani ya nchi yafikia Dola za Marekani bilioni

Read More...

MAFURIKO YAUWA 190 MALAWI

Takriban watu 190 sasa wamethibitishwa kufariki nchini Malawi baada ya Dhoruba ya Mafuriko ya Tropiki Freddy kulikumba eneo

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu