Mbowe azungumzia afya ya Lissu…

In Afya, Kitaifa

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo amezungumza na wanahabari kuhusiana na hali ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu aliyeko katika hospitali ya Narobi nchini Kenya kwa matibabu.
Mh,Mbowe amesema Mh,Lisu anaendelea vizuri na kuimarika lakini amesema Mh,Lissu amefanyiwa upasuaji mara kumi na saba lakini pia amepewa damu nyingi kuliko mgonjwa yeyote hapo hosptalini tangu miaka ishirini iliyopita Lakini pia Mh,Mbowe amesema mashine alizokua akizitumia katika kuendesha ama kusapoti mwili wake zimeondolewa na sasa anatumia wilchair.

Kwa upande mwingine Mh.Mbowe amewashukuru madaktari wote toka Tanzania na Kenya waliookoa maisha ya Mh,Lissu,pia amesema Hosptali ya Kenya imefikisha awamu ya pili ya matibabu huku baada ya hapo itafanyika awamu ya tatu ya matibabu nay a muda mrefu katika kuimarisha afya na kumtibu Mh.Lissu ambapo awamu hiyo itafanyika nje ya Tanzania na Kenya kwa sababu ya kiusalama.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

PROF. NDALICHAKO AKIPONGEZA KIWANDA CHA MBOLEA CHA ITRACOM KWA UTEKELEZAJI SHERIA ZA KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amekipongeza kiwanda

Read More...

WATOTO 109,514 KUPATIWA CHANJO YA MATONE DHIDI YA POLIO WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

Katika utekelezaji wa zoezi la Kampeni ya chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa  Polio, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi

Read More...

Tigo na mjasiriamali Boss yaja kukomboa wajasiriamali

Katika kuendelea kukuza utalii wa utamaduni hapa nchini kampuni ya Tigo kanda ya kaskazini imeendeleaa kuwaunga mkono wadau wa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu