Mbunge ahoji agizo la rais Magufuli.

In Kitaifa

Agizo la Rais Dr John Pombe Magufuli alilolitoa jana kuhusu wananchi wanaofanya shughuli za kibinadamu ndani ya mita 60 kutoka vyanzo vya maji, limeibua maswali bungeni mapema leo.

Mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema Peter Msigwa katika swali la nyongeza, amesema agizo hilo linakinzana na sheria ya mazingira na kutaka kujua wao wamsikilize nani kati ya rais na waziri husika.

Swali hilo lilijibiwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Kangi Lugola, kisha likatiliwa mkazo na waziri mwenye dhamana January Makamba.

Kutokana na kile alichokisema Msigwa kuwa Rais anafanya upendelea kanda ya ziwa, waziri wa mambo ya ndani Mwigulu Nchemba alisimama na kulizungumzia hilo.

 

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

JUMLA YA WATU 2249 VISIWA VYA MULEBA WAPATIWA ELIMU YA UGONJWA WA MARBURG .

Baadhi ya Watalaam wa Afya kutoka Wizara ya Afya wakitoa Elimu katika kisiwa Cha Rushonga kilichopo ndani ya ziwa

Read More...

MAANDALIZI DIRA YA MAENDELEO 2050 YAANZA

SERIKALI  imeanza mchakato Wa kuandaa Dira Mpya ya Maendeleo 2050 ambapo wadau wote katika maeneo yao wametakiwa kushiriki kikamilifu

Read More...

Viwango vya maadili kwa viongoiz yaongezeka.

Imeelezwa kuwa viwango vya uzingatiwaji wa maadili kwa viongozi na watumishi wa umma nchini,vimeongezeka hadi kufikia asilimi 75.9 kwa

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu