Mbunge aomba Bunge kujadili Tatizo la Panya Road.

In Kitaifa

Mbunge wa viti malaum kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi
CCM Bahati Ndingo,leo amesimama Bungeni na kutoa hoja ya
kutaka Bunge liahirishwe kwa muda na lijadili usalama wa Raia,
kufutaia matukio ya yanayofanywa na Kikundi cha Panya Road,
kinachodaiwa kuuawa mtu mmoja usiku wa kuamkia leo Jijini
Dar es salaam.


Imeelezwa Vijana hao zaidi ya 30 wamemsababishia umauti
Binti aliyefahamika kwa jina la Maria Baso mwenye umri wa
miaka 24 katika tukio la uvamizi huku wengine 2 wakijeruhiwa.
Tukio hilo linadaiwa kutokea eneo la Kawe Mzimuni jijini Dar
es Salaam,ambapo vijana hao pia wamepora vitu mbalimbali
ikiwemo simu na fedha.

Sasa Sakata la Vijana hao limefika Bungeni kwa Mara nyingine
na mtaa wa mastory tumeinasa sauti ya Mbunge Bahati Ndingo
akitoa hoja hiyo.

Baada ya kutoa hoja hiyo Spika wa Bunge Dkt Tulia Akson,
akaitolea ufafanuzi lakini Vilevile akatoa Maagizo kwa Serikali
kushughulikia suala hilo kwa haraka.

Join Our Newsletter!

Get updates, news etc from us. Its simple just put in your email address.

You may also read!

WANAFUNZI 500 WAPEWA MBINU WASILOWEE KWENYE MADAWA YA KULEVYA.

Na Tonie kaisoe ,Arusha Wanafunzi zaidi ya 500 wa shule ya Sekondari Arusha Jiji na Wilaya ya Arumeru wamepewa mbinu

Read More...

MR. IBU AFARIKI DUNIA

Mchekeshaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, John Okafor, almaarufu Mr. Ibu amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Read More...

POLISI, LATRA WAPIGA FAINI MABASI YALIYO ZIDISHA NAULI ARUSHA.

Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikaiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)

Read More...

Leave a reply:

Your email address will not be published.

Mobile Sliding Menu